Header Ads Widget

HUYU NAE AMEFIKA KATIKA OFFISI ZA KWETUMIONO BLOG,TAZAMA PICHA ZAKE HAPA NA ALICHOKISEMA.

Wapendwa wa wasomaji wa blog hii natumaini ni wazima wa afya tele, japo mi nasumbuliwa na mafua siko poa kivile kutokana na mafua ila ina imani mungu atanifanyia wepesi na kupona kabisa.Leo nimepata ugeni katika offisi yangu ya "KWETUMIONO",Nimetembelewa na fans wangu wa nguvu ambaye amekuja kunijulia hali mtu wake wa kitambo sana.

Fans wangu wa nguvu Kwa jina La JAFARI ABDALLAH Ni fans wangu wa mda sana na nimeshukuru sana kuja hapa offisini kwangu kunijulia hali undugu ni kutembeleana na kujuliana hali.
Fans wangu wa nguvu  JEFF. JAFARI ABDALLAH Akiwa katika nje ya offisi ya kwetu miono
Jafari abdallah akiwa na mwanae.
JEFF Aliniombea dua njema alivyofika offisini
Alisema " Nakutakiwa uwe ni mtu mwenye afya nzuri siku zote na ufanikiwe zaidi na zaidi kupitia mtandao huu wa kwetumiono,Mungu atakusaidia utapona haraka huo ugonjwa unaokusumbua"
Bloga kwetu miono" AMIIN"Nashukuru kwa dua yako Fans wangu


Mwisho napenda kuwashukuru fans wangu wote wa blogg hii,nawaahidi kuwapa update nzuri zinapotokea.Mniombee bloga afya njema bloga wenu maana kwa sasa afya yangu sio nzuri sana nasumbuliwa na Mafua.

Wenu kwetu miono bloga nawakaribisha wote mnaotaka kutengenezewa blog kwa bei poa kabisa
Piga simu number: O654 29 19 32 
Utanipata kwa urahisi na kwa haraka zaidi
by kwetu miono.



Post a Comment

0 Comments