Header Ads Widget

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA_HIVI NDIVYO VIUNGO VYA BINADAMU VILIVYOKUTWA KWENYE MFUKO USIKU HUU JIJINI DAR ES SALAAM






Mmoja ya Kiungo cha Mguu

Baadhi ya Mifuko ambamo Maiti izo zilikuwa zimewekwa

Moja ya kichwa cha Binadamu ambacho kimetolewa katika moja ya Mifuko hiyo



Umati wa watu wakiwa wanashuhudia tukio hilo muda huu

Watu zaidi wakiwa wanaongezeka katika eneo la Tukio

Mpaka tunaondoka eneo la Tukio Miili ilikuwa imechukuliwa na Jeshi la Polisi kwa Uchunguzi zaidi, Taarifa kamili itatolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es salaam.picha zote kwa hisani ya Dar es salaam yetu blog

Post a Comment

0 Comments