Header Ads Widget

HII NI LIVE: KITUO CHA DALADALA CHA MWENGE PAMOJA NA VIBANDA VYA PEMBENI VYABOMOLEWA


Hapa walikuwa wanabomoa Sehemu zote za vibanda zilivyo zidi mbele

Mgambo anafanya kazi bila Air Mask wakati kazi inaendelea ya Bomoa bomoa



Hivi ndivyo kituo cha Daladala cha Mwenge kilivyo bomolewa asubuhi ya leo



Hiki kilikuwa Choo cha kulipia kilichokuwa Mwenge nacho kikiwa kimebomolewa

Ulinzi ukiwa umeimarishwa

Hili lilikuwa eneo la kupumzikia zamani la Abiria kungoja usafiri nacho kikiwa kimebomolewa

Mabaki ya Vibanda

Mmoja wa Mgambo akiwa amebeba Meza kupeleka eneo husika Tayari kwa kuzikusanya kuzipeleka eneo husika

Kazi ya Ubebaji Meza na Mabaki ya Vibanda ikiendelea

Mashuhuda wakiongezeka

Moja ya eneo ndani ya Mwenge walipo hifadhi baadhi ya Meza za Biashara. Picha na Dar es salaam yetu Blog

Post a Comment

0 Comments