
Unaweza Soma : Aunt Ezekiel Aporomosha Maneno Machafu, Kisa Picha Akiwa Kiwanja Anakula Bata!!
Kesho Raisi huyo mkongwe zaidi Afrika anatimiza miaka 91 toka azaliwe na kubwa zaidi ni gharama zitazotumika kuandaa sherehe hiyo. Kwa mujibu wa msemaji wa Zanu PF chama anachotokea rais Mugabe ni kua dola za kimarekani millioni moja zitatumika katika maandalizi ya sherehe hizo. Pesa hizo ni zaidi ya billioni 1,849,150,000.
Unaweza Soma :
0 Comments