Tukio hilo ambalo inasemekana lilitokea moja kati ya Bar zilizopo Ilala usiku wa sikukuu ya Pasaka taarifa zilizopo toka usiku wa Pasaka mpaka sasa hivi Chidi Benz yupo chini ya Jeshi la Polisi kituo cha polisi Pangani Ilala kwa madai ya Shambulio na kumuumiza vibaya Aisha Sued.
88.4 Clouds Fm inasikika ukiwa Mtwara.
Bonyeza play kusikiliza.
Bonyeza play kusikiliza.
0 Comments