HOME
KUHUSU BLOGU
MAWASILIANO YETU
TANGAZO
Header Ads Widget
MWANZO
HABARI
NAFASI ZA KAZI
KUKAYA MIONO
MICHEZO
TIBA MBADALA
MAHUSIANO
MIONO TV
RIWAYA
TEKNOLOJIA
Home
Tiba mbadala
NJIA RAHISI YA KUPATA MIMBA HARAKA KWA MWANAMKE HII HAPA SOMA KWA MAKINI.
NJIA RAHISI YA KUPATA MIMBA HARAKA KWA MWANAMKE HII HAPA SOMA KWA MAKINI.
Kwetu Miono
11:11:00 PM
1. Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara, angalau siku tatu kwa wiki, ikiwezekana on alternate days.
2. Tumia ovulation prediction kit, hiki ni kifaa ambacho kitakusaidia kujua wakati hasa mwanamke ameengua yai na ndio kipindi ambacho mwanamke ana uwezo wa kushika mimba akikutana na mumewe. Ni rahisi kutumia.
3. Fanya tendo la ndoa kabla ya kuengua yai (kabla ya ovulation), huongeza uwezekano wa kushika mimba kuliko kusubiria ovulation au kufanya baada ya ovulation. Kutaneni siku mbili au tatu kabla ya ovulation. Ukitumia ovulation test kit, mkutane kuanzia siku itakapokuwa positive kwani huwa inapredict ovulation kutokea 48 hrs after it tests positive.
4. Usitegemee njia ya kalenda kutabiri uenguaji yai, njia hii kwa kiasi fulani huweza kuwasaidia wale wenye mzunguko wa siku 28, lakini pia haina uhakika wa 100%, wengi wa wanawake hawaengui yai siku ya 14 ya mzunguko wa hedhi, kwa hiyo kutegemea kalenda kutakuchelewesha kupata ujauzito.
5. unapotaka kushika mimba, acha au punguza kwa kiasi kikubwa matumizi ya pombe, sigara au dawa za kulevya.
6. unapotaka kupata mimba, tendo la ndoa liwe kitu 'enjoyable' na sio tendo 'mechanical' kwa ajili ya kutafuta mtoto. Plan a romantic evening or try something different to spice things up. How you are feeling sexually may increase your chances of getting pregnancy. For women a better orgasm may help pull the sperms into the uterus and for men a better orgasm may increase their sperm count.
7.Kufanya mapenzi katika mtindo (style) ambayo itafanya mbegu za kiume zikae kwa muda mrefu ukeni na hivyo nyingi kupanda kuingia kwenye kizazi na kwenda kurutubisha yai. 'missionary position' ni nzuri zaidi, ambapo mwanaume anakuwa juu, epuka positions za mwanamke kuwa juu kwani hufanya mbegu zimwagike kwa gravity. Jaribu pia kuweka mto chini ya kiuno ili kukiinua na kufanya mbegu ziingie ndani kwa urahisi zaidi.
Kumbuka kuna asilimia 10 - 25 ya couples ambazo zina matatizo ya infertility lakini vipimo havionyeshi tatizo, inaweza kuwa namna ya kufanya mapenzi ndio ikawa shida, jaribu njia hizo 7 juu.
Kama hizi njia hazijakusaidia basi utakuwa na matatizo na unaweza kumuona daktari kwa msaada wa vipimo na matibabu.
Natumaini uzi huu unaweza kuwa msaada kwa watafutao watoto. Kwa msaada zaidi piga 0784778788
Post a Comment
0 Comments
FUATILIA MITANDAO YETU YA KIJAMII
PATA PESA MTANDAONI BOFYA TANGAZO
SUBSCRIBE CHANNEL YETU HAPA.
HABARI MPYA
Habari
Taarifa Ya Kupotea kwa Tabu Kalwinzi Wilaya ya Magu Kijiji Cha Puna Mkoani Mwanza.
Omary Mbaraka
5:03:00 AM
WASILIANA NASI HAPA KWA CHOCHOTE BOFYA TANGAZO
ZILIZOSOMWA ZAIDI
AFYA ZETU KWANZA: TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA NAMNA YA KUTAFUTA UFUMBUZI WAKE JE WAJUA SUPU YA KORODANI ZA WANYAMA HULEREJA NGUVU ZA KIUME ?.SOMA HAPO
7:04:00 AM
HII NOMA:WANAFUNZI 111 WAPATA MIMBA MKOANI LINDI !!
8:51:00 AM
TRA Yakusanya Trilioni 1.032 Mwezi wa Tano
11:29:00 PM
ETI HIZI NDIYO SABABU ZINAZO PELEKEA WANAUME WENGI WA KITANZANIA KUPENDA WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA NA MALAINI NI HIZI HAPA:
7:10:00 AM
Tofauti Kati ya Akili ya Fahamu na Akili ya Nafsi (Fahamu ya Ndani)
7:25:00 AM
MTUHUMIWA WA UJAMBAZI AUAWA NA POLISI MKOANI MBEYA KATIKA MAJIBIZANO YA RISASI
9:54:00 PM
Majambazi Yaua Polisi Tanga
4:47:00 PM
JUMLA YA WATEMBELEAJI WETU
JIUNGE NASI KWENYE FACEBOOK.
Contact form
0 Comments