
Muimbaji huyo ambaye pia ni video queen, amesema kuwa ameamua kuachia wimbo ‘Tikisa Supu’ baada ya kuona tayari kuna watu wengi ameshaimba nyimbo za kutikisa sehemu za miili yao.
“Unaniuliza kucheza, nitikise nini? maana watu wameshatikisa kiuno, mapaja, nitikise matiti? no, hawataki. Nitikise Supu, wanataka. Kwa hiyo kwa lugha za kwenye runinga nikisema nitikise makalio haitaleta picha nzuri, na nyimbo naihisi itapendwa sana,” alisema Gigy.
Video ya wimbo ‘Tikisa Supu’ utatoka katikati ya mwezi huu baada ya kukamilika kwa matayarisho ya mwisho.
0 Comments