HOME
KUHUSU BLOGU
MAWASILIANO YETU
TANGAZO
Header Ads Widget
30%More Salary
'The season to Switch Job!
Join Now
High Paying Jobs
These styles are going quick.
Join Now
50% Reputed Companies
Only while Vacancies Are Left.
Join Now
MWANZO
HABARI
NAFASI ZA KAZI
KUKAYA MIONO
MICHEZO
TIBA MBADALA
MAHUSIANO
MIONO TV
RIWAYA
Home
Habari
AJALI YA LORI YATOKEA CHALINZE MKOANI PWANI MUDA HUU
AJALI YA LORI YATOKEA CHALINZE MKOANI PWANI MUDA HUU
Kwetu Miono
8:27:00 AM
Kama Bado Hujajiunga Nasi, Unaweza Kujiunga Hapa Nikutumie habari Moja Kwa Moja
..Bofya HAPA ULIKE PAGE YETU!..
Lori aina ya Scania namba T 607 CWV Semi Taller (kama linavyoonekana katika picha) lililokuwa limebeba kokoto limeanguka katikati ya lami muda huu katika eneo la Chalinze Mzee Mkoani Pwani na kuharibika vibaya.
Kwa mujibu wa Mashuhuda, ajali hiyo ametokea baada ya gari hilo lililokuwa likielekea Dar es Salaam, kuteleza kutokana na mvua iliyonyesha asubuhi ya leo mkoani humo.
Hata hivyo askari wa usalama barabarani wamefika eneo la tukio na kufanikiwa kuliondoa gari hilo ambalo limesababisha foleni kubwa ya magari yaliyokuwa yakitokea jijini Dar es Salaam kwenda mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha kutokana na kuziba barabara.
Ads by Radio Canyon
Ad Options
Picha Zote na Faraji Mfinanga wa Dunia Kiganjani
DUNIA KIGANJANI
Post a Comment
0 Comments
FUATILIA MITANDAO YETU YA KIJAMII
PATA PESA MTANDAONI BOFYA TANGAZO
SUBSCRIBE CHANNEL YETU HAPA.
HABARI MPYA
Burudani.
Fainali CRDB CUP Yanga na Singida kupigwa Zanzibar
Kwetu Miono
2:14:00 PM
WASILIANA NASI HAPA KWA CHOCHOTE BOFYA TANGAZO
ZILIZOSOMWA ZAIDI
KUMBE ULINZI WA RAISI WA KENYA UMESABABISHWA NA AL SHABAAB KUSEMA WATAWAUA VIONGOZI!!,HEBU TAZAMA HIZI PICHA ZA ULINZI KWA RAISI WA KENYA.
12:38:00 AM
MAMBO YA KANGA MOKO HAYA HAPA.
4:17:00 AM
HATIMAYE POLISI WAMGUNDUA KINARA WA MTANDAO WA WIZI KATIKA MABENKI JIJINI D’SALAAM.BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
10:06:00 AM
WASHINDI WA TUZO ZA WATU MWAKA 2015 HAWA HAPA
11:18:00 PM
MWANAMKE KWANINI HUSHIKI MIMBA? HIZI NDIO SABABU ZA KUTOSHIKA MIMBA KWA MAWANAMKE
11:06:00 PM
Exclusive: Ommy Dimpoz alivyorushwa kichurachura na Wanajeshi pale Lugalo
11:55:00 PM
HATIMAYE KLOSE NAE ATUNDIKA MADARUGA KIMATAIFA.
11:28:00 PM
JUMLA YA WATEMBELEAJI WETU
JIUNGE NASI KWENYE FACEBOOK.
Contact form
0 Comments