HOME
KUHUSU BLOGU
MAWASILIANO YETU
TANGAZO
Header Ads Widget
MWANZO
HABARI
NAFASI ZA KAZI
KUKAYA MIONO
MICHEZO
TIBA MBADALA
MAHUSIANO
MIONO TV
RIWAYA
TEKNOLOJIA
Home
Habari
AJALI YA LORI YATOKEA CHALINZE MKOANI PWANI MUDA HUU
AJALI YA LORI YATOKEA CHALINZE MKOANI PWANI MUDA HUU
Kwetu Miono
8:27:00 AM
Kama Bado Hujajiunga Nasi, Unaweza Kujiunga Hapa Nikutumie habari Moja Kwa Moja
..Bofya HAPA ULIKE PAGE YETU!..
Lori aina ya Scania namba T 607 CWV Semi Taller (kama linavyoonekana katika picha) lililokuwa limebeba kokoto limeanguka katikati ya lami muda huu katika eneo la Chalinze Mzee Mkoani Pwani na kuharibika vibaya.
Kwa mujibu wa Mashuhuda, ajali hiyo ametokea baada ya gari hilo lililokuwa likielekea Dar es Salaam, kuteleza kutokana na mvua iliyonyesha asubuhi ya leo mkoani humo.
Hata hivyo askari wa usalama barabarani wamefika eneo la tukio na kufanikiwa kuliondoa gari hilo ambalo limesababisha foleni kubwa ya magari yaliyokuwa yakitokea jijini Dar es Salaam kwenda mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha kutokana na kuziba barabara.
Ads by Radio Canyon
Ad Options
Picha Zote na Faraji Mfinanga wa Dunia Kiganjani
DUNIA KIGANJANI
Post a Comment
0 Comments
FUATILIA MITANDAO YETU YA KIJAMII
PATA PESA MTANDAONI BOFYA TANGAZO
SUBSCRIBE CHANNEL YETU HAPA.
HABARI MPYA
Mahusiano
Mambo 30 Usiyopaswa Kufanya Katika Mahusiano
Omary Mbaraka
12:31:00 PM
WASILIANA NASI HAPA KWA CHOCHOTE BOFYA TANGAZO
ZILIZOSOMWA ZAIDI
HII NOMA:WANAFUNZI 111 WAPATA MIMBA MKOANI LINDI !!
8:51:00 AM
PITIA KURASA ZA MAGAZETI YA LEO JUMANNE AUGUST 19,2014
1:02:00 AM
Watuhumiwa wa Ubakaji na Waliosambaza Picha za Uchi za Msichana Morogoro Waendelea Kusota Rumande
11:12:00 AM
AFYA ZETU KWANZA: TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA NAMNA YA KUTAFUTA UFUMBUZI WAKE JE WAJUA SUPU YA KORODANI ZA WANYAMA HULEREJA NGUVU ZA KIUME ?.SOMA HAPO
7:04:00 AM
Kiongozi wa upinzani Uganda kazingua tena, Polisi hawajamvungia aisee..!
10:16:00 AM
Yanga Yaibuka Kidedea Leo Kwa Kufunga Simba Bao 2-0
10:13:00 AM
TAZAMA HAPA PICHA ZA JENNIFER LOPEZ NA PITBULL WALIVYONOGESHA UFUNGUZI WA KOMBE LA DUNIA 2014 NCHINI BRAZIL
8:28:00 PM
JUMLA YA WATEMBELEAJI WETU
JIUNGE NASI KWENYE FACEBOOK.
Contact form
0 Comments