Kwenye eneo la ajali hii iliyoua watu wote 116 waliokuwemo ndani baada ya kupoteza mawasiliano dakika 50 baada ya kupaa, kumepatikana mabaki ya ndege yenyewe pamoja na mabaki ya baadhi ya viungo vya binadamu.
Ajali hii inakamilisha hesabu ya ajali kubwa ya tatu ya ndege kutokea ndani ya kipindi cha siku saba huku nyingine zikiwa ni ajali za ndege ya Malaysia Ukraine na nyingine ya TransAsia Airways iliyotokea Taiwan na kuua watu 48.
0 Comments