Header Ads Widget

HUYU NDIYE MTUNZA BUSTANI MKUU AMBAYE NI MFANYAKAZI WA IKULU ALIYEFIA KWENYE SHEREHE ZA MEI MOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR. SOMA HAPA



Marehemu Rashid Chilangwa, Mtunza Bustani Mkuu wa Ikulu enzi za uhai wake. Marehemu alifariki dunia siku ya sherehe za Mei Mosi katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam
Mwili wa marehemu ukiombewa kabla ya kupelekwa shambani kwake Kisarawe kwa mazishiViongozi wa ofisi ya Rais Ikulu wakijadiliana na wanafamilia ya marehemu kuhusu mwenendo wa mazishi

Post a Comment

0 Comments