Header Ads Widget

THOMAS MASHALI AMGALAGAZA KASEBA KWA POINT SOMA HIO.

 Bondia Thomas Mashali (kushoto) akikwepa konde la Japhet Kaseba, wakati wa pambano lao kuwania Ubingwa wa WBO uliofanyika kwenye ukumbi wa UBO Africa Mashali.  Sabasaba jijini Dar es Salaam. Katika pambano hilo Mashali alimshinda mpinzani wake kwa Pointi. 
 Japhet Kaseba (kushoto) akiwa na mpinzani wake, Jamhuri Kaseba,
Mashali, akipozi na mikanda yake baada ya kukabidhiwa mkanda mmoja usiku huu.
Mabondia Japhert Kaseba (Thomas Mashali) wakipambana wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba kugombania ubingwa wa UBO Africa Mashali. Mashali alishinda kwa Pointi
KWA MATUKIO ZAIDI YA PAMBANO HILI NA YA UTANGULIZI PAMOJA NA VIDEO YA PAMBANO LA KASEBA NA MASHALI, ZITAKUJIA BAADAYE.

Post a Comment

0 Comments